Tuesday, July 22, 2008

nishati mgogoro


Nishati ni tatizo kubwa saana bongo, wengine wanatumia mavi ya ng'ombe kama nishati, wenye uwezo kiasi au sana wanatumia umeme, baadhi wanajitahidi kutumia gesi ili mradi kila kitu vurugu tupu, pichani kina mama wa kibongo wamebeba kuni tayari kwa matumizi ya nyumbani. Unasemaje ndugu msomaji hapa wewe unatumia nishati gani mbadala ya hii je, ni upepo au ni nini???, na je hizi ni kuni au ni vijiti????

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...