Nishati ni tatizo kubwa saana bongo, wengine wanatumia mavi ya ng'ombe kama nishati, wenye uwezo kiasi au sana wanatumia umeme, baadhi wanajitahidi kutumia gesi ili mradi kila kitu vurugu tupu, pichani kina mama wa kibongo wamebeba kuni tayari kwa matumizi ya nyumbani. Unasemaje ndugu msomaji hapa wewe unatumia nishati gani mbadala ya hii je, ni upepo au ni nini???, na je hizi ni kuni au ni vijiti????
Tuesday, July 22, 2008
nishati mgogoro
Nishati ni tatizo kubwa saana bongo, wengine wanatumia mavi ya ng'ombe kama nishati, wenye uwezo kiasi au sana wanatumia umeme, baadhi wanajitahidi kutumia gesi ili mradi kila kitu vurugu tupu, pichani kina mama wa kibongo wamebeba kuni tayari kwa matumizi ya nyumbani. Unasemaje ndugu msomaji hapa wewe unatumia nishati gani mbadala ya hii je, ni upepo au ni nini???, na je hizi ni kuni au ni vijiti????
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI DUA MAALUM KUMUENZI HAYATI KARUME, MIAKA 54 BAADA YA KUUAWA KWAKE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan , jana tarehe 07 Aprili 2026 aliungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananch...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment