Tuesday, July 22, 2008

nishati mgogoro


Nishati ni tatizo kubwa saana bongo, wengine wanatumia mavi ya ng'ombe kama nishati, wenye uwezo kiasi au sana wanatumia umeme, baadhi wanajitahidi kutumia gesi ili mradi kila kitu vurugu tupu, pichani kina mama wa kibongo wamebeba kuni tayari kwa matumizi ya nyumbani. Unasemaje ndugu msomaji hapa wewe unatumia nishati gani mbadala ya hii je, ni upepo au ni nini???, na je hizi ni kuni au ni vijiti????

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...