Sunday, July 13, 2008

Maji taka kibao


Eeee bwana jiji letu la Dar es Salaam linakabiliwa na tatizo kubwa a miundombinu mibovu hali inayosababisha maji taka kutapakaa kila pahala, hebu cheki hapa stendi ya Mwenye maji taka yametapakaa kila pahala.

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...