Sunday, July 13, 2008

Maji taka kibao


Eeee bwana jiji letu la Dar es Salaam linakabiliwa na tatizo kubwa a miundombinu mibovu hali inayosababisha maji taka kutapakaa kila pahala, hebu cheki hapa stendi ya Mwenye maji taka yametapakaa kila pahala.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...