Sunday, July 13, 2008

Maji taka kibao


Eeee bwana jiji letu la Dar es Salaam linakabiliwa na tatizo kubwa a miundombinu mibovu hali inayosababisha maji taka kutapakaa kila pahala, hebu cheki hapa stendi ya Mwenye maji taka yametapakaa kila pahala.

No comments:

PROF. SHEMDOE AELEKEZA MAGARI 14 YA USIMAMIZI WA MIRADI YA TACTIC KUFANYA KAZI ILIYOKUSUDIWA

  Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na warat...