Friday, July 11, 2008

dagaa haba



Dagaa sasa hivi ni dili kule feri na maeneo yote nchini sababu ya amri ya serikali ya kutotumia nyavu ndogo ambazo imesema zinaua samaki wa changa, sasa hivi yanatumika madema na mitego hakuna nyavu hivyo wapenda dagaa jiandaeni ukame wa daa waja picha ya mdau Fidelis Felix ni ya reo reo

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...