Friday, July 11, 2008

dagaa haba



Dagaa sasa hivi ni dili kule feri na maeneo yote nchini sababu ya amri ya serikali ya kutotumia nyavu ndogo ambazo imesema zinaua samaki wa changa, sasa hivi yanatumika madema na mitego hakuna nyavu hivyo wapenda dagaa jiandaeni ukame wa daa waja picha ya mdau Fidelis Felix ni ya reo reo

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...