Tuesday, July 22, 2008

Dk Migiro ndani ya bongo


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Asha Rose-Migiro, akiwa na wanafunzi wa shule ya msingi Mlimani Dar es Salaam jana, alipohudhulia sherehe za kukabidhana maktaba ndogo ndogo za kisasa zilizogengwa katika mikoa ya pweani na Dar es Salaam chini ya mradi maalumu wa Mmoja wa Mataifa wa (UNWTO Step Foundation). Picha na Emmanuel Herman

No comments:

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...