Tuesday, July 22, 2008

Dk Migiro ndani ya bongo


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Asha Rose-Migiro, akiwa na wanafunzi wa shule ya msingi Mlimani Dar es Salaam jana, alipohudhulia sherehe za kukabidhana maktaba ndogo ndogo za kisasa zilizogengwa katika mikoa ya pweani na Dar es Salaam chini ya mradi maalumu wa Mmoja wa Mataifa wa (UNWTO Step Foundation). Picha na Emmanuel Herman

No comments:

PROF. SHEMDOE AELEKEZA MAGARI 14 YA USIMAMIZI WA MIRADI YA TACTIC KUFANYA KAZI ILIYOKUSUDIWA

  Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na warat...