Sunday, July 13, 2008

Mwanza mambo tambarare




Mwanza si mchezo bwana mambo yao sasa tambarare hebu cheki hapa katikati ya jiji la Mwanza mitaa ya wapi vile suijui hebu nambie ndugu msomaji, hivi utadai kweli Mwanza eti mji mbaya, hebu cheki kuleee huioni Bugando hospital kwa mbaaali.

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...