Sunday, July 13, 2008

Mwanza mambo tambarare




Mwanza si mchezo bwana mambo yao sasa tambarare hebu cheki hapa katikati ya jiji la Mwanza mitaa ya wapi vile suijui hebu nambie ndugu msomaji, hivi utadai kweli Mwanza eti mji mbaya, hebu cheki kuleee huioni Bugando hospital kwa mbaaali.

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...