Thursday, July 03, 2008

Airport Zanzibar

Sura ya uwanja wa ndege wa Zanzibar kwa upande mmoja wa uwanja huo, hivi ndivyo unavyoonekana leo hiii hebu cheki, uwanja huu ni uwanja wa kimataifa, madege toka Ulaya yanatua moja kwa moja cha msingi ni kuboresha.

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...