Thursday, July 03, 2008

Airport Zanzibar

Sura ya uwanja wa ndege wa Zanzibar kwa upande mmoja wa uwanja huo, hivi ndivyo unavyoonekana leo hiii hebu cheki, uwanja huu ni uwanja wa kimataifa, madege toka Ulaya yanatua moja kwa moja cha msingi ni kuboresha.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...