Thursday, July 03, 2008

Airport Zanzibar

Sura ya uwanja wa ndege wa Zanzibar kwa upande mmoja wa uwanja huo, hivi ndivyo unavyoonekana leo hiii hebu cheki, uwanja huu ni uwanja wa kimataifa, madege toka Ulaya yanatua moja kwa moja cha msingi ni kuboresha.

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...