Tuesday, July 22, 2008

Migiro ndani ya bongo


Mbunge wa Same Mashariki Anne KilangoMalecela akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha-Rose Migiro hati aliyoweka sahihi kuunga mkono kampeni ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake mjini Dodoma jana. Pichana Jube Tranquilino

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...