Tuesday, July 22, 2008

Migiro ndani ya bongo


Mbunge wa Same Mashariki Anne KilangoMalecela akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha-Rose Migiro hati aliyoweka sahihi kuunga mkono kampeni ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake mjini Dodoma jana. Pichana Jube Tranquilino

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...