Sunday, July 20, 2008

Safari ya Rais Tanga

Rais Jakaya Kikwete, akimsikiliza yatima aliyekuwa akimwomba msaada wa kuweza kujikimu mara baada ya kuzindua kiwanda cha Gesi Mkonge na Umeme Mkonge iliyofanyika Hale mkoa wa Tanga hivi karibuni, kuli ni Felix Francis wa shule ya msingi Unyanyembe ya Hale.

Baadhi ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari za Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga, wakishangilia kuwasili kwa Rais Jakaya Kikwete kuanza ziara ya siku moja katika wilaya hiyo majuzi. Picha zote za mdau Deus Mhagale.

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...