Sunday, July 20, 2008

Safari ya Rais Tanga

Rais Jakaya Kikwete, akimsikiliza yatima aliyekuwa akimwomba msaada wa kuweza kujikimu mara baada ya kuzindua kiwanda cha Gesi Mkonge na Umeme Mkonge iliyofanyika Hale mkoa wa Tanga hivi karibuni, kuli ni Felix Francis wa shule ya msingi Unyanyembe ya Hale.

Baadhi ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari za Wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga, wakishangilia kuwasili kwa Rais Jakaya Kikwete kuanza ziara ya siku moja katika wilaya hiyo majuzi. Picha zote za mdau Deus Mhagale.

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...