Wednesday, July 23, 2008

Nani kutwaa taji la Vidacom Miss Tanzania 2008


Florence Josephat kutoka Kanda ya Temeke


Nadya Ahmed kutoka kanda ya Kaskazini-Tanga
Picha mwanana za Vimwana(Tausi)wanaoshiriki shindano la kutafuta Miss Tanzania 2008 wakiwa katika pozi mbalimbali kambini kwao leo mjini bagamoyo ndani ya Paradise Beach Resort ambapo kwa leo ilikuwa ni siku malum kwa vyombo mbalimbali vya habari kukutana na vimwana hivyo.

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...