Wednesday, July 23, 2008

Nani kutwaa taji la Vidacom Miss Tanzania 2008


Florence Josephat kutoka Kanda ya Temeke


Nadya Ahmed kutoka kanda ya Kaskazini-Tanga
Picha mwanana za Vimwana(Tausi)wanaoshiriki shindano la kutafuta Miss Tanzania 2008 wakiwa katika pozi mbalimbali kambini kwao leo mjini bagamoyo ndani ya Paradise Beach Resort ambapo kwa leo ilikuwa ni siku malum kwa vyombo mbalimbali vya habari kukutana na vimwana hivyo.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...