Thursday, July 10, 2008

Miss Tanzania wangia Kempu



Vimwana wa Miss Tanzania 2008 wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kuanza safari yao kuelekea bagamoyo kuanza kambi yao kabla ya mashindano hayo yanayotarajia kufanyika agosti 2 mshindi wa kwanza atapata gari na pamoja na shuilingi milioni nane na laki nane, wa pili atavuta milioni sita wakati wa tatu ataondoka na milioni tatu na laki nane, wa nne milioni mbili na laki saba na wa tano atakunywa milioni mbili na laki mbili.Asante Picha ya braza Michu.

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...