Sunday, July 27, 2008

Jengo la kale Hatariii!!!


Mtoto wa mtaa wa Mwambao Bagamoyo , akicheza karibu na ukuta wa jengo linalodaiwa kujengwa mwaka 1830, majengo mengi ya kale ambayo yangetakiwa kuhifadhiwa na kuwa kumbuklumbu yameachwa na uongozi wa mji huo kuanguka ni hatari kwa utalii wa mji huo. Picha ya Mdau Deus Mhagale.

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...