Sunday, July 27, 2008

Jengo la kale Hatariii!!!


Mtoto wa mtaa wa Mwambao Bagamoyo , akicheza karibu na ukuta wa jengo linalodaiwa kujengwa mwaka 1830, majengo mengi ya kale ambayo yangetakiwa kuhifadhiwa na kuwa kumbuklumbu yameachwa na uongozi wa mji huo kuanguka ni hatari kwa utalii wa mji huo. Picha ya Mdau Deus Mhagale.

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...