Thursday, July 17, 2008

Sigara duuuhhh


Eeee bwana sigara sijui ni tamu au sijui vipi, ukiwaona wanaovuta huburudika saana na ladha yake wanaipata vilivyo , lakini maelezo ya kitaalamu yanasema sigara ni mbaya na inaleta balaa mwilini japo watu twaipenda, hebu mcheki mdada hapa akivuta hisia ya fegi. Picha ya mdau wa blogu hii.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...