Thursday, July 17, 2008

Sigara duuuhhh


Eeee bwana sigara sijui ni tamu au sijui vipi, ukiwaona wanaovuta huburudika saana na ladha yake wanaipata vilivyo , lakini maelezo ya kitaalamu yanasema sigara ni mbaya na inaleta balaa mwilini japo watu twaipenda, hebu mcheki mdada hapa akivuta hisia ya fegi. Picha ya mdau wa blogu hii.

No comments:

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...