Thursday, July 17, 2008

Njia Tatu


Hii ni kali tangu yule mheshimiwa Waziri Mkuu Edward Lowassa alipoingia madarakani kwa kweli hatukatai aliingia kwa nguvu kubwa akafanya mengi mno kwa muda mfupi mojawap[o ni hili la njia tatu hakika, mfumo huu umesababisha mambo mengi mabaya na mazuri, umeua watu wengi na kuwatia vilema wengine na kwamba hata bima hawatambui, sasa hivi bado tunauhitaji mfumo kama huu kwanini zisiendelee kutafutwa njia mbadala ya hii.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...