Mzee wa Mshitu
Thursday, July 03, 2008
Kusaka elimu si mchezo
Nakumbuka enzi hizo wakati tukisoma shule umbali wa kilomita zaidi ya tano kutoka nyumbani na wakati huo tulikuwa tukifika shuleni baada ya kuruka manyasi, mitaro na vichaka kadhaa kazi haikuwa rahisi ni taabu tupu.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment