Thursday, July 03, 2008

Kusaka elimu si mchezo



Nakumbuka enzi hizo wakati tukisoma shule umbali wa kilomita zaidi ya tano kutoka nyumbani na wakati huo tulikuwa tukifika shuleni baada ya kuruka manyasi, mitaro na vichaka kadhaa kazi haikuwa rahisi ni taabu tupu.

No comments:

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...