Thursday, July 03, 2008

Kusaka elimu si mchezo



Nakumbuka enzi hizo wakati tukisoma shule umbali wa kilomita zaidi ya tano kutoka nyumbani na wakati huo tulikuwa tukifika shuleni baada ya kuruka manyasi, mitaro na vichaka kadhaa kazi haikuwa rahisi ni taabu tupu.

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...