Thursday, July 03, 2008

Kusaka elimu si mchezo



Nakumbuka enzi hizo wakati tukisoma shule umbali wa kilomita zaidi ya tano kutoka nyumbani na wakati huo tulikuwa tukifika shuleni baada ya kuruka manyasi, mitaro na vichaka kadhaa kazi haikuwa rahisi ni taabu tupu.

No comments:

DKT.JAFO AWEZESHA ELIMU YA UFUNDI, AKABIDHI VYEREHANI VINNE CHUO CHA FDC KISARAWE-MZENGA

  Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga, kwa lengo la kuwawezesh...