Friday, July 11, 2008

Barabara ya Mandela


Eeehhh bwana hawa jamaaa wanaojenga hii barabara ya Mandela wanaoneakana ni wataalamu wa mitaroo hao yaani wao kutwa kucha kuchimba mitaro hebu chei picha hii ya jana walivyokuwa wanachimbua mitaro kabla ya kuanza kujenga barabara ya mandela eneo la Tabata Relini.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...