Friday, July 11, 2008

Barabara ya Mandela


Eeehhh bwana hawa jamaaa wanaojenga hii barabara ya Mandela wanaoneakana ni wataalamu wa mitaroo hao yaani wao kutwa kucha kuchimba mitaro hebu chei picha hii ya jana walivyokuwa wanachimbua mitaro kabla ya kuanza kujenga barabara ya mandela eneo la Tabata Relini.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...