
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mohammed Abood akiwa na wambolezaji wengine leo hii nyumbani kwa Munanka, Kimara Baruti. Picha zote za mdau Kassim Mbarouk wa Mwananchi.
Waziri wa Nchi wa zamani katika baraza la kwanza la mawaziri wa Serikali ya awamu ya kwanza Mh. Isaac Bhoke Munanka aliyefariki dunia Jumamosi ilopita akiwa na umri wa miaka 81 anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni, Dar.
Matanga yapo nyumbani kwa marehem huko nyumbani kwake Kimara, Dar.
kwa habari zaidi bofya hapa
Matanga yapo nyumbani kwa marehem huko nyumbani kwake Kimara, Dar.
kwa habari zaidi bofya hapa
No comments:
Post a Comment