Wednesday, July 09, 2008

Taka ngumu

Hebu cheki taka zilivyorundikana katika maeneo mbalimbali ya jiji yaani ni noma na hiki kirundo ni kidogo saana katika jiji hili la Dar es Salaam, au unasemaje msomaji?

No comments:

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...