Friday, July 04, 2008

Miss Higher Learning


Baadhi ya Warembo watakaoshiriki katika mashindano ya Miss Higher Learning Insitutions 2008 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam. Jumla ya warembo 11 kutoka vyuo mbalimbali watashinda leo katika ukumbi wa New World Cinema. Picha na Edwin Mjwahuzi

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...