Friday, July 04, 2008

Miss Higher Learning


Baadhi ya Warembo watakaoshiriki katika mashindano ya Miss Higher Learning Insitutions 2008 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam. Jumla ya warembo 11 kutoka vyuo mbalimbali watashinda leo katika ukumbi wa New World Cinema. Picha na Edwin Mjwahuzi

No comments:

WAZIRI MASAUNI ASHUHUDIA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR

Zanzibar — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni , ameshuhudia mchezo wa kwanza wa nusu fain...