Friday, July 04, 2008

Miss Higher Learning


Baadhi ya Warembo watakaoshiriki katika mashindano ya Miss Higher Learning Insitutions 2008 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam. Jumla ya warembo 11 kutoka vyuo mbalimbali watashinda leo katika ukumbi wa New World Cinema. Picha na Edwin Mjwahuzi

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...