Sunday, July 20, 2008

Gari la Ubalozi wa China Lagongana na Toyota Starlet Iliyotoroka Ajali Dar es Salaam


Dereva aliyekuwa akiendesha gari la Ubalozi wa China nchini, akiwasiliana na ubalozi wake baada ya gari lake kugongana na gari dogo aina ya Toyota Starlet ambayo ilikimbia baada ya kusababisha ajali hiyo, makutano ya barabara za Kawawa na Magomeni Kondoa, jijini Dar es Salaam juzi. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...