Dereva aliyekuwa akiendesha gari la Ubalozi wa China nchini, akiwasiliana na ubalozi wake baada ya gari lake kugongana na gari dogo aina ya Toyota Starlet ambayo ilikimbia baada ya kusababisha ajali hiyo, makutano ya barabara za Kawawa na Magomeni Kondoa, jijini Dar es Salaam juzi. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.
Sunday, July 20, 2008
Gari la Ubalozi wa China Lagongana na Toyota Starlet Iliyotoroka Ajali Dar es Salaam
Dereva aliyekuwa akiendesha gari la Ubalozi wa China nchini, akiwasiliana na ubalozi wake baada ya gari lake kugongana na gari dogo aina ya Toyota Starlet ambayo ilikimbia baada ya kusababisha ajali hiyo, makutano ya barabara za Kawawa na Magomeni Kondoa, jijini Dar es Salaam juzi. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DKT.JAFO AWEZESHA ELIMU YA UFUNDI, AKABIDHI VYEREHANI VINNE CHUO CHA FDC KISARAWE-MZENGA
Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga, kwa lengo la kuwawezesh...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment