Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angella Kairuki (Mb) akisalimiana na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma alipoitembelea ofisi hiyo jana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angella Kairuki (Mb) akimsikilizaKamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Salome S.Kaganda (kushoto) alipotembelea ofisi hiyo jana.
No comments:
Post a Comment