Monday, February 09, 2015

Rais Jakaya Kikwete Aongoza Mazishi ya Bi.Tajiri Abdallah Kitenge ambaye ni mama wa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama Bwana Rashid Othman

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Bi.Tajiri Abdallah Kitenge wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Chumbageni mjini Tanga. Marehemu Bi.Tajiri ni mama wa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama Bwana Rashid Othman.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Bwana Rashid Othman wakati wa mazishi ya Mama yake Bi.Tajiri Abdallah Kitenge yaliyofanyika katika makaburi ya Chumbageni mjini Tanga.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments: