Tuesday, January 06, 2015

Balozi Omar Mjenga amtembelea Balozi Modest Mero ofisini kwake Geneva

Balozi wa  Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva, Mhe. Modest Mero akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Duba alipomtembelea ofisini kwake Geneva.

Wote wawili walilitumikia Taifa kwa pamoja katika Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa New York.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...