Tuesday, January 06, 2015

Balozi Omar Mjenga amtembelea Balozi Modest Mero ofisini kwake Geneva

Balozi wa  Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva, Mhe. Modest Mero akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Duba alipomtembelea ofisini kwake Geneva.

Wote wawili walilitumikia Taifa kwa pamoja katika Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa New York.

No comments:

CHUO KIKUU MZUMBE CHAPOKEWA MSAADA WA VITABU KUTOKA ACCA

  Chuo Kikuu Mzumbe kimepokea vitabu 69 vya kufundishia na kujifunzia kutoka Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) kupitia o...