Sunday, March 31, 2013

uzinduzi wa mpango wa ushirikiano baina ya Vodacom, Benki ya CRDB PCL na Samsung

01 e3690
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa, wa pili kulia, akifafanua jambo kwa Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbawara, Dar es Salaam jana, wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa ushirikiano baina ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, Benki ya CRDB PCL na Samsung. Mpango huo unalenga kuwawezesha wateja wa CRDB nchini kujipatia simu za Samsung Galax S3,Samsung Galax note2 na Samsung Galax note 10 katika duka lolote la Vodacom na kuzilipia kwa awamu kwa kati ya miezi 12 na 24. Kulia ni Meneja wa huduma za kibenki wa CRDB, Farida Mbwana.
002 5ae66
Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbawara akimsikiliza Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa, wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa ushirikiano baina ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, Benki ya CRDB PCL na Samsung. Mpango huo unalenga kuwawezesha wateja wa CRDB nchini kujipatia simu za Samsung Galax S3,Samsung Galax note2 na Samsung Galax note 10 katika duka lolote la Vodacom na kuzilipia kwa awamu kwa kati ya miezi 12 na 24,kushoto ni Mkuu wa Vifaa vya Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Bw.Mgopelinyi Kiwanga.


003 8c7a8
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Tenkolojia Profesa Makame Mbawara akihutubia wakati wa kampuni ya Vodacom,Tanzania, kampuni ya Samsung na Benki ya CRDB PLC walipokuwa wakizindua mpango wa ushirikiano wa kuwawezesha wateja wao kujipatia simu aina ya Samsung Galax S3,Samsung Galax note 2 na Samsung Galax note 10 kwa malipo ya awamu kati ya miaezi 12 hadi miezi 24 ambapo wateja wa benki ya CRDB PLC watajipatia huduma hiyo katika duka lolote la Vodacom nchini..Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam
004 cc46d
Naibu Mkurugenzi Mtendaji –Uendeshaji na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB PLC,Bw. Saugata Bandyadhiyay akiongea na waandishi wa habari na baadhi ya wageni waalikwa waliofika katika halfa ya uzinduzi wa mpango wa ushirikiano baina ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, Benki ya CRDB PCL na Samsung. Mpango huo unalenga kuwawezesha wateja wa CRDB nchini kujipatia simu za Samsung Galax S3,Samsung Galax note2 na Samsung Galax note 10 katika duka lolote la Vodacom na kuzilipia kwa awamu kwa kati ya miezi 12 na 24.
005 5ae0b
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa kwenye hafla hiyo..
006 7deed07 26b1d008 84dd4
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa (wa pili kushoto), akigonganisha glasi na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (wa tatu), Meneja Mwandamizi wa Kampuni ya Samsung, Afrika Mashariki, Simon Kariithi (kulia) na Naibu Mkurugenzi Mwendeshaji, Undeshaji na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay, mara baada ya kuuzindua mpango wa ushirikiano wao, Dar es Salaam juzi, ambapo utamwezesha mteja kununua simu za Sumsung kwa malipo ya awamu

No comments: