Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha dharura
katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana.Mzee Kingunge alikimbizwa
Hospitalini hapo baada ya kujisikia vibaya.jopo la madaktari bingwa
linamfanyia uchunguzi Mzee Kingunga ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.
Aliyesimama Nyuma ya Rais ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni mtoto wa
Mzee Kingunge Bwana Kinjekitile.Picha na Freddy Maro-IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MASAUNI ASHUHUDIA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
Zanzibar — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni , ameshuhudia mchezo wa kwanza wa nusu fain...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment