Friday, March 22, 2013

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete Wamjulia Hali Mzee Kingunge Ngombale Mwiru

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha dharura katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana.Mzee Kingunge alikimbizwa Hospitalini hapo baada ya kujisikia vibaya.jopo la madaktari bingwa linamfanyia uchunguzi Mzee Kingunga ili kubaini ugonjwa unaomsumbua. Aliyesimama Nyuma ya Rais ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni mtoto wa Mzee Kingunge Bwana Kinjekitile.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...