Wednesday, March 13, 2013

Maalim Seif Sharif Hamad na Julius Mtatiro Waunguruma Jimbo la Temeke

   Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, Jimbo la Temeke
  Naibu Katibu Mkuu wa CUF Tanzania Bara Julius Mtatiro akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, Jimbo la Temeke.
  Wafuasi na wapenzi wa CUF wakiwa makini kuwasikiliza viongozi wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, jimbo la Temeke Dar es Salaam.
   Wafuasi na wapenzi wa CUF wakijitokeza kwa wingi kuwasikiliza viongozi wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, jimbo la Temeke Dar es Salaam
 Wafuasi na wapenzi wa CUF wakijitokeza kwa wingi kuwasikiliza viongozi wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, jimbo la Temeke Dar es Salaam.Picha na Salmin Said-Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar

No comments: