Tuesday, March 12, 2013

AIRTEL YAMZAWADIA MKAZI WA RUFIJI MILIONI 15 KUPITIA PROMOSHENI YA AMKA MILLIONEA‏

 
Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (kulia) akimkabidhi mshindi wa mwezi Januari wa Promosheni ya Amka Millionea na Airtel, Bi. Agnes Hassan Chakame mfano wa hundi ya shilingi milioni 15 baada ya kuibuka mshindi wa promosheni hiyo. Agnes ni mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa Pwani. Akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde.

 
Mshindi wa mwezi Januari wa Promosheni ya Amka Milionea na Airtel, Bi. Agnes Hassan Chakame akionyesha mfano wa hundi ya…
 
Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (kulia) akimkabidhi mshindi wa mwezi Januari wa Promosheni ya Amka Millionea na Airtel, Bi. Agnes Hassan Chakame mfano wa hundi ya shilingi milioni 15 baada ya kuibuka mshindi wa promosheni hiyo. Agnes ni mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa Pwani. Akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde.
 
Mshindi wa mwezi Januari wa Promosheni ya Amka Milionea na Airtel, Bi. Agnes Hassan Chakame akionyesha mfano wa hundi ya shilingi milioni 15 mara baada kuibuka mshindi wa Promosheni ya Amka Milionea na Airtel.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...