Wednesday, March 27, 2013

CHADEMA WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA CHAMA CHA CONSERVATIVE CHA WATU WA DENMARK


 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa (kushoto) akisaini mkataba wa ushirikiano na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.
 
Dk. Slaa akibadilishana nyaraka na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.

No comments:

SAMSUNG IMEFUNGUA MADUKA MAWILI MAPYA YA BRAND STORE KUNDUCHI NA UBUNGO

  Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika ...