Wednesday, March 27, 2013

CHADEMA WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA CHAMA CHA CONSERVATIVE CHA WATU WA DENMARK


 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa (kushoto) akisaini mkataba wa ushirikiano na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.
 
Dk. Slaa akibadilishana nyaraka na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...