Wednesday, March 27, 2013

CHADEMA WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA CHAMA CHA CONSERVATIVE CHA WATU WA DENMARK


 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa (kushoto) akisaini mkataba wa ushirikiano na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.
 
Dk. Slaa akibadilishana nyaraka na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...