Rais Jakaya Kikwete Apokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Omar El Bashir wa Sudan
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Omar
El Bashir wa Sudan ulioletwa na Mhe.Dkt.Nafie Ali Nafie ikulu jijini Dar
es Salaam Jana asubuhi.Picha na Freddy Maro-IKULU
No comments:
Post a Comment