Wednesday, March 13, 2013

Mamia Wajitokeza Kwenye Mkutano wa CHADEMA Mjini Musoma

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (MB) akiihutubia Mkutano wa hadhara wa Chama hicho Mjini Musoma Mkoani Mara.
Sehemu ya  Umati wa watu waliohudhuria mkutano huo


Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (MB) jana alihutubia Mkutano wa hadhara wa Chama hicho Mjini Musoma Mkoani Mara. Mbali na Mbowe pia viongozi wengine akiwepo Mbunge wa Musoma pia alihutubia mkutano huo.

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...