Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Vodacom, Kelvin Twissa,
(kushoto) akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa ubia wa ushirikiano
baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom na Shirika la Ndege la
FastJet uliofanyika Dar es Salaam, utakaowawezesha wasafiri wa shirika
hilo kuanzia sasa kulipia tiketi za safari zao kwa njia ya M-Pesa.
(Kulia ni Meneja wa Biashara wa FastJet, Jean Uku).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI
Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...


2 comments:
nimeipenda hiyo ongezeen juhudi katika kuleta maendeleo ya usafirishaji inakua vizuri kutumia M-Pesa kukwepa kutapeliwa
Ahsante
Nice post. I learn something new and challenging on blogs I
stumbleupon on a daily basis. It's always useful to read content from other authors and practice a little something from their sites.
My web page ... how to marketing social media services
Post a Comment