Mwenyekti
wa Asasi ya Siasa,ulinzi na Usalama ya SADC Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete akiongoza kikao cha asasi hiyo kilichofanyika ikulu jijini Dar
es Salaam leo jioni.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Rais wa
Namibia Hifikepunye Pohamba ,Katibu mkuu wa SADC,Dk.Tomaz Salomao,Rais
Armando Guebuza wa Msumbiji,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa Bernard Membe na kulia ni Rais Jackob Zuma wa Afrika ya
Kusini.Picha na Freddy Maro-IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment