Friday, January 18, 2013

WASANII WA FILAMU BONGO KUCHEZA FILAMU NIGERIA NA DRC CONGO

Pix-1
Mkurugenzi wa Mad Mad Entertainment, Yasmin Razak (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu kampuni yake kuingia mikataba na wasanii wa filamu wa Tanzania watakaokwenda Nigeria na Jmahuri  ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya kutengeza filamu. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superior, Issack Kasanga na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba. DSC_8498
Msanii wa filamu, Steve Nyerere (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano hupo.Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superior, Issack Kasanga na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba.  
……………………………………………………………….
KAMPUNI ya Mad Mad Entertainment iliyopo jijini London nchini Uingereza, imeanzisha program maalum ya kupeleka wasanii wa filamu za bongo nje ya nchi kwa lengo la kukuza sanaa hiyo hapa nchini.
 Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Yasmin Razak alisema ameamua kufanya kazi na wasanii  hao ili kuleta mabadiliko na kuwakwamua kiuchumi wasanii wa filamu hapa nchini.
 
 “Kwa muda mrefu niliokaa London sioni kama sanaa hii ina maendeleo, nikafikiria kitu gani nifanye ili  kukuza tasnia hii, katika mkataba na kampuni msanii atakayetengeneza filamu na wasanii wa nje atalipwa kiasi cha Sh. 50 milioni pamoja na malipo mengine yatakayokuwepo kwenye mkataba, ikiwa ni pamoja na asilimia fulani kwa kila kazi itakayouzwa hapa nchini.
“Nimekuwa nikifanya kazi hiyo na wasanii wengi kutoka Nigeria wakiwemo kina Omotola, Two Face na wengineo na pia Ghana, Congo na hata Uingereza, hivyo nimeonelea kuwa itakuwa vema Tanzania nao kuingia katika mchakato huo,”alisema Razak.
Razak ambaye amewahi kufanya kazi ya filamu na Fally Ipupa,  alitaja vigezo vya msanii atakayechaguliwa ikiwa ni pamoja na umaarufu,  kuijua lugha ya kiingereza, uwezo wa kuigiza na kuuvaa uhusika wowote pamoja na mavazi.
Naye rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba aliwataka wasanii hao kujipanga katika kuhakikisha wanaingia kwenye ushindani huo na kuwataka wale watakaochaguliwa kujituma na kuonyesha nidhamu ya uhakika.
“Hapa kuna kuinua vipaji, soko la kimataifa na mengineyo, hivyo ni vema kufanya kazi kikamilifu kwa wale watakaochaguliwa na si kujisahau, wanatakiwa wasanii watatu na tupo katika hatua za awali za mchujo,” alisema
Mwakifamba.
Naye muigizaji Issa Musa maarufu kama Cloud, alisema kuwa lugha itakuwa ni tatizo kubwa kwa wasanii walio wengi, hivyo kuitaka kampuni hiyo iangalie namna ya kuweza kuwasaidia wasanii hao. Picha zote za John Bukuku wa Fullshangwe

5 comments:

Anonymous said...

Heу! Do you knοω if they makе any plugins
to help with Ѕearch Engine Optimization? І'm trying to get my blog to rank for some targeted keywords but I'm not seeing very good success.

If yоu knоw of any ρleaѕe shaгe.
Chеers!

Here іѕ my hοmeрage ... Reserving Resorts At A Cheaper Price

Anonymous said...

Hello, і think that і ѕаω you visіtеd my wеblоg thus i сame to “return the favor”.
I аm аttеmpting to find things to еnhancе my site!

I ѕupрοse its ok to usе a few of уouг ideas!

!

My wеb blоg; hotel-Discount.Com

Anonymous said...

Wondеrful wоrk! This is the type of informatіon that arе meant
to bе shaгed аcrοss the nеt.
Shame on the search enginеѕ for now not positioning
this post higher! Come on οver anԁ seek
adviсe from my site . Τhаnks =)

Here іѕ my web site; Compare motel costs

Anonymous said...

I loνe what you guys are up too. Thіs sοrt
of clever ωoгk anԁ coveгage! Keеp up the fаntastic wοгkѕ guys I've added you guys to our blogroll.

Here is my webpage - Thinking about Review Hotels Rates?

Anonymous said...

Spot on wіth this ωrіte-up, I aсtually fеel this sitе nеeds much more attentіon.
I'll probably be back again to see more, thanks for the advice!

Feel free to visit my web blog :: Assess lodge prices