Wednesday, January 30, 2013

VODACOM NA FASTJET WAINGIA KATIKA UBIA WA USHIRIKIANO, WASAFIRI WA FASTJET SASA KUANZA KUNUNUA TIKETI KWA M-PESA

fastjet and the fastjet crew
 
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Vodacom, Kelvin Twissa, (kushoto) akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa ubia wa ushirikiano baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom na Shirika la Ndege la FastJet uliofanyika Dar es Salaam, utakaowawezesha wasafiri wa shirika hilo kuanzia sasa kulipia tiketi za safari zao kwa njia ya M-Pesa. (Kulia ni Meneja wa Biashara wa FastJet, Jean Uku).
 

2 comments:

Anonymous said...

nimeipenda hiyo ongezeen juhudi katika kuleta maendeleo ya usafirishaji inakua vizuri kutumia M-Pesa kukwepa kutapeliwa
Ahsante

Anonymous said...

Nice post. I learn something new and challenging on blogs I
stumbleupon on a daily basis. It's always useful to read content from other authors and practice a little something from their sites.

My web page ... how to marketing social media services