Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Vodacom, Kelvin Twissa,
(kushoto) akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa ubia wa ushirikiano
baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom na Shirika la Ndege la
FastJet uliofanyika Dar es Salaam, utakaowawezesha wasafiri wa shirika
hilo kuanzia sasa kulipia tiketi za safari zao kwa njia ya M-Pesa.
(Kulia ni Meneja wa Biashara wa FastJet, Jean Uku).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...


2 comments:
nimeipenda hiyo ongezeen juhudi katika kuleta maendeleo ya usafirishaji inakua vizuri kutumia M-Pesa kukwepa kutapeliwa
Ahsante
Nice post. I learn something new and challenging on blogs I
stumbleupon on a daily basis. It's always useful to read content from other authors and practice a little something from their sites.
My web page ... how to marketing social media services
Post a Comment