Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Vodacom, Kelvin Twissa,
(kushoto) akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa ubia wa ushirikiano
baina ya Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom na Shirika la Ndege la
FastJet uliofanyika Dar es Salaam, utakaowawezesha wasafiri wa shirika
hilo kuanzia sasa kulipia tiketi za safari zao kwa njia ya M-Pesa.
(Kulia ni Meneja wa Biashara wa FastJet, Jean Uku).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE
Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...


2 comments:
nimeipenda hiyo ongezeen juhudi katika kuleta maendeleo ya usafirishaji inakua vizuri kutumia M-Pesa kukwepa kutapeliwa
Ahsante
Nice post. I learn something new and challenging on blogs I
stumbleupon on a daily basis. It's always useful to read content from other authors and practice a little something from their sites.
My web page ... how to marketing social media services
Post a Comment