Wednesday, January 16, 2013

MZEE MKAPA NA MZEE MSUYA WATOA MAONI LEO

CRC-Mzee Mkapa akiongea dcbfb
Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa (kulia) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani (katikati) na Dkt. Salim Ahmed Salim. Wajumbe wa Tume walikutana na Rais huyo Mstaafu leo (Jumatano, Jan 16, 2013) jijini Dar es Salaam ili kupata maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya.

CRC-Mzee Mkapa Nje1 6f082
CRC-Mzee Msuya1 04783

No comments: