Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck
Sadik Muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Mwalimu Julius Nyerere jana usiku akitokea nchini Ethiopia ambapo
alihudhuria mkutano wa Wakuu wan chi za umoja wa Afrika(AU) uliofanyika
jijini Addis Ababa.Picha na Freddy Maro-IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
No comments:
Post a Comment