
Rais Jakaya kikwete akijadiliana jambo 
na Mwanamuziki Mkongwe kutoka Bendi ya Kilimanjaro Band Wana Njenje Bw 
Waziri Ally Muda mfupi baada ya ujumbe wa wasanii wakongwe wa muziki wa 
dansi pamoja na filamu kumtembelea  Ikulu jijini Dar es salaaam leo

 Mr Waziri Ally kutoka bendi ya 
kilimanjaro Band wana  Njenje akitoa salaam za shukrani na pongezi kwa 
niamba ya  ujumbe wa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi pamoja na 
filamu uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaaam leo
Rais jakaya kikwete akimshukuru Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Dansi nchini King Kiki

 Picha
 juu Rais jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa 
wasanii wakongwe wa muziki wa dansi pamoja na filamu uliomtembelea Ikulu
 jijini Dar es salaaam leo
-- 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Desemba 
21, 2012 amepokea ujumbe wa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi pamoja 
na filamu uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaaam kwa kuwajali wasanii
 wa aina zote na hata kuamua kutoa tuzo kwa wasanii
ambapo mwaka huu amewatunuku Muhidin Maalim Gurumo na Hayati Marijani Rajabu.Picha na IKULU

 
 
No comments:
Post a Comment