Jopo la waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali nchi wakiingia kwenye mojawapo wa nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada kujionea namna zinavyoendelea kujengwa.
Baadhi ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada zikendelea kujengwa.
Wahariri wakishuhudia namna nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada zikiendelea kujengwa.
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Mikoa na Utawala (DROA) wa NHC, Raymond Mndolwa akiwapa maelekezo Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya habari nchini namna nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada zinavyojengwa.
Mkandarasi wa Mradi wa nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada akizungumza na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini namna nyumba za Kibada zinavyoendelea kujengwa.
Mkandarasi wa Mradi wa nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada akizungumza na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini namna nyumba za Kibada zinavyoendelea kujengwa.
Safari ya Kibada ikiendelea. PICHA ZOTE ZA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MASAUNI ASHUHUDIA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
Zanzibar — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni , ameshuhudia mchezo wa kwanza wa nusu fain...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment