Jopo la waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali nchi wakiingia kwenye mojawapo wa nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada kujionea namna zinavyoendelea kujengwa.
Baadhi ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada zikendelea kujengwa.
Wahariri wakishuhudia namna nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada zikiendelea kujengwa.
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Mikoa na Utawala (DROA) wa NHC, Raymond Mndolwa akiwapa maelekezo Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya habari nchini namna nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada zinavyojengwa.
Mkandarasi wa Mradi wa nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada akizungumza na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini namna nyumba za Kibada zinavyoendelea kujengwa.
Mkandarasi wa Mradi wa nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kibada akizungumza na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini namna nyumba za Kibada zinavyoendelea kujengwa.
Safari ya Kibada ikiendelea. PICHA ZOTE ZA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA
Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment