Monday, December 03, 2012

JOSEPH SENGA AUAGA UKAPERA



Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga leo Desemba 1, 2012 ameamua kuachana na Ukapera rasmi na kufunga pingu za maisha na mke wake, Fridah Mockray. Pichani ni wanandoa hao wakiwa Kanisani wakati wa ibada ya ndoa takatifu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Sinza jijini Dar es Salaam jioni ya jana.
Matron akisaini cheti
Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja na wasimamizi wao. 
 Maharusi wakisaini hati za ndoa.
Joseph Senga akisaini cheti.
Maharusi wakikabidhiwa Shahada zao za ndoa.
 Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga akiwa katika pozi na mke wake, Fridah Mockray mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa Katoliki Sinza jijini Dar es Salaam jana.
Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga akipongezwa na mama yake mzazi
Pozi la harusi
Picha ya pamoja
Maharusi wakitoka Kanisani

 (Picha zote na Habari Mseto Blog)

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...