Wednesday, December 05, 2012

Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012 watembelea Clouds Media Group

 Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012 wakiwa katika picha ya pamoja mapema leo mchana walipotembelea kampuni ya Clouds Media Group,Mikocheni jijini Dar.
 Mfanyakazi wa Prime Time Promotions Ltd,Godliver Nicholaus akiwapa jarida la Kitangoma linalochapishwa na kampuni hiyo,Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012. 
 Mkurugenzi wa Utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akiwaelekeza jambo Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012.
  Mkurugenzi wa Utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akiwaelekeza jambo Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012 walipotembelea ndani ya studio za Clouds TV.
  Mkurugenzi wa Utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akiwaelekeza jambo Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012 walipotembelea chumba cha wahariri wa Clouds TV.
 Mmoja wa wahariri wa Clouds TV,Anatoli Kabez akisalimia na Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012.
Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM,Sebastian Maganga akifafanua jambo kwa  Washiriki wa shindano la Miss East Afrika 2012.walipotembelea studio za Clouds FM.

No comments: