Issa Kwisa Mwaifuge, akiwa na mkewe Binti mrembo aliyewahi kushiriki shindano kubwa 
la Miss Tanzania, 2004, Verdiana Kamugisha, ambao kwa pamoja wameamua 
kumeremeta siku ya jana na kufunga ndoa yao katika Kanisa la Lutheran 
lililopo Sinza jijini Dar es Salaam. Na hapa ni wakati wakiwa 
katika sherehe ya ndoa yao inayoendelea muda huu katika Ukumbi wa 
Msasani Makuni. Picha Zote na www.sufianimafoto.blogspot.com
 Bwana Harusi, Issa Kwisa (kushoto) akisebeneka na Suleiman Semunyu, aliyekuwa akipokea zawadi ya keki kwa niaba ya ITV.


 
 
No comments:
Post a Comment