Monday, December 31, 2012

Rais Jakaya Kikwete atangaza matokeo ya sensa,Watanzania waongezeka kutoka watu 34.4 milioni hadi 44.9


Rais Jakaya Kikwete atangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi kufikia watu milioni 44.9. Tanzania bara kuna watu 43.6 milioni na Zanzibar watu 1.3milioni.Kwa habari zaidi ungana nasi baadaye.

No comments:

MHE. NDEJEMBI AITAKA PURA KUWAJENGEA UWEZO WATANZANIA KUSHIRIKI MRADI WA LNG

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratous Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimar...