Monday, December 31, 2012

Rais Jakaya Kikwete atangaza matokeo ya sensa,Watanzania waongezeka kutoka watu 34.4 milioni hadi 44.9


Rais Jakaya Kikwete atangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi kufikia watu milioni 44.9. Tanzania bara kuna watu 43.6 milioni na Zanzibar watu 1.3milioni.Kwa habari zaidi ungana nasi baadaye.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...