
Pichani Juu na Chini ni 
Mstahiki Meya wa Ilala na Diwani wa Kata ya Gongo la mboto, Jerry Silaa 
akiwa na baadhi ya wakazi wa Kata hiyo wakifanya kazi ya usafi katika 
eneo la Stendi ya Mabasi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kuhimiza usafi na
 kuhifadhi mazingira katika jiji la Dar es Salaam iliyozinduliwa na 
makamu wa Rais mwanzoni mwa mwezi huu.


Mstahiki
 Meya wa Ilala na Diwani wa Kata ya Gongo la mboto,Jerry Silaa 
akizungumza na baadhi ya wakazi wa Kata hiyo wakati wa kufanya usafi 
katika eneo la Stendi ya Mabasi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kuhimiza 
usafi na kuhifadhi mazingira katika jiji la Dar es Salaam iliyozinduliwa
 na makamu wa Rais mwanzoni mwa mwezi huu.
 
 
No comments:
Post a Comment