

Waziri
 wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara  (kulia) 
akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Kagera  Kanali Mstaafu Fabian Massawe mara 
baada ya kumtembelea ofisini kwake jana mjini Bukoba. Waziri Dk. 
Mukangara yupo mkoani humo kwa ajili ya kuangalia jinsi  fedha za mkopo 
kutoka mfuko wa vijana  zilivyoweza kuwasaidia vijana kujikwamua 
kimaisha. 

Waziri
 wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara  
(kushoto) akimsikiliza  Mkuu wa Mkoa wa Kagera  Kanali Mstaafu Fabian 
Massawe alipomtembelea ofisini kwake jana mjini Bukoba. Waziri Dk. 
Mukangara yupo mkoani humo kwa ajili ya kuangalia jinsi  fedha za mkopo 
kutoka mfuko wa vijana  zilivyoweza kuwasaidia vijana kujikwamua 
kimaisha.

Waziri
 wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara  (kushoto
 ) akiongea na viongozi wa mkoa wa Kagera (hawapo pichani)jana  mjini 
Bukoba jinsi  Serikali inavyoangalia uwezekano wa kuongea mkopo kwa 
SACCOS zinazolenga shughuli za maendeleo ya vijana  kutoka shilingi 
milioni tano hadi kumi kutokana na mahitaji ya fedha hizo kuwa makubwa. 
Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana James 
Kajugusi.

Baadhi
 ya viongozi wa mkoa wa Kagera wakimsikiliza  Waziri wa Habari, Vijana, 
Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara  (hayupo pichani) wakati 
akiongea nao kuhusu umuhimu wa kuwafuatilia vijana kwa ukaribu katika 
Kata na kuweza kuwafundisha na kuwashirikisha  katika miradi ya 
maendeleo,Picha na Anna Nkinda – Maelezo
 
 
No comments:
Post a Comment