Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiweka mchanga kaburini wakati wa mazishi
ya Marehemu Mohamed Aboud Mohamed, aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali Mstaafu, katika Makaburi ya Ngazija jijini Dar es
salam ,Desemba 29, 2012.
PICHA NA IKULU
|
No comments:
Post a Comment