Friday, December 07, 2012

Wadau Wamjulia Hali Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu Aliyejeruhiwa na Risasi Jijini Dar es Salaam


 Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu akiongea na waandishi wa habari na wadau mbalimbali waliofika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa risasi kifuani aliyopigwa na Polisi nyumbani kwake Tegeta.
Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu akionyesha sehemu aliyojeruhiwa na risasi baada ya kujuliwa hali na na waandishi wa habarikatika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa risasi kifuani aliyopigwa na Polisi nyumbani kwake Tegeta.
 Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu akisalimiwa na wadau na waandishi mbalimbali waliofika kumjulia hali akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa risasi kifuani aliyopigwa na Polisi nyumbani kwake Tegeta.Picha na Dande Francis

1 comment:

Anonymous said...

[url=http://www.49ersonlineofficialstore.com/carlos_rogers_jersey_super_bowl]Carlos Rogers Jersey[/url] emurbursofs
[url=http://www.49ersonlineofficialstore.com/mike_iupati_jersey_super_bowl]Mike Iupati Jersey[/url] TynckeyncBype
[url=http://www.footballravensprostore.com/dennis_pitta_jersey_super_bowl]Dennis Pitta Jersey[/url] Proonseorek

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...