Friday, December 07, 2012

Wadau Wamjulia Hali Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu Aliyejeruhiwa na Risasi Jijini Dar es Salaam


 Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu akiongea na waandishi wa habari na wadau mbalimbali waliofika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa risasi kifuani aliyopigwa na Polisi nyumbani kwake Tegeta.
Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu akionyesha sehemu aliyojeruhiwa na risasi baada ya kujuliwa hali na na waandishi wa habarikatika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa risasi kifuani aliyopigwa na Polisi nyumbani kwake Tegeta.
 Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Shaban Matutu akisalimiwa na wadau na waandishi mbalimbali waliofika kumjulia hali akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa risasi kifuani aliyopigwa na Polisi nyumbani kwake Tegeta.Picha na Dande Francis

1 comment:

Anonymous said...

[url=http://www.49ersonlineofficialstore.com/carlos_rogers_jersey_super_bowl]Carlos Rogers Jersey[/url] emurbursofs
[url=http://www.49ersonlineofficialstore.com/mike_iupati_jersey_super_bowl]Mike Iupati Jersey[/url] TynckeyncBype
[url=http://www.footballravensprostore.com/dennis_pitta_jersey_super_bowl]Dennis Pitta Jersey[/url] Proonseorek

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...