
Pichani Juu na Chini Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akipitia hati ya bima yake ya maisha baada ya 
kukabidhiwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa Bw.
 Justine Mwandu leo Ikulu jijini Dar es salaam.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete 
akipokea kitabu cha kumbukumbu ya miaka 50 ya   Shirika la Bima la Taifa
 toka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wake  Bw. Justine Mwandu Ikulu 
jijini Dar es salaam. Shirika hilo ambalo limefufuka upya na 
linaadhimisha miaka 50 ya kuanzisha kwake mwakani.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete 
akiushukuru uongozi wa  Shirika la Bima la Taifa baada ya kupokea hati 
ya bima yake ya maisha  Ikulu jijini Dar es salaam.(Picha na IKULU).
 
 
No comments:
Post a Comment