Monday, December 03, 2012

JENGO LA MAKUMBUSHO BEIT AL JAIB ZANZIBAR LAPOROMOKA

Gari ndogo yenye nambari za usajili Z 897 DF ikionekana kuvurugika kabisa baada ya kifusi cha dari ya jengo la Makumbusho ya Taifa la Beit al ajaib kuidondokea kufuatia mvua za vuli zinazoendelea kunyesha Zanzibar.

Jengo la Beit Al- Ajaib lililojengwa na Utawala wa Kijerumani Mwaka 1870 likiwa na umri wa karibu miaka 142 hutegemewa sana katika Sekta ya Utalii ndani ya mwambao wa Afrika Mashariki pamoja na wataalamu na wanafunzi wa kigeni wanaokuja kufanya utafiti hapa Nchini.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...