Monday, December 03, 2012

JENGO LA MAKUMBUSHO BEIT AL JAIB ZANZIBAR LAPOROMOKA

Gari ndogo yenye nambari za usajili Z 897 DF ikionekana kuvurugika kabisa baada ya kifusi cha dari ya jengo la Makumbusho ya Taifa la Beit al ajaib kuidondokea kufuatia mvua za vuli zinazoendelea kunyesha Zanzibar.

Jengo la Beit Al- Ajaib lililojengwa na Utawala wa Kijerumani Mwaka 1870 likiwa na umri wa karibu miaka 142 hutegemewa sana katika Sekta ya Utalii ndani ya mwambao wa Afrika Mashariki pamoja na wataalamu na wanafunzi wa kigeni wanaokuja kufanya utafiti hapa Nchini.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...