Monday, December 31, 2012

RAILA ODINGA ATUA JIJINI DAR KIMYAKIMYA

Katika…
Katika kuonyesha kuwa Dk. John Magufuli na Raila Odinga ni maswahiba kwa taarifa nilizozinyaka na ni za uhakika ni kuwa, Mh. Raila Odinga yupo nchini Tanzania kumtembelea rafiki yake kipenzi Mh. Dk. John P. Magufuli ambapo nimebahatika kupata baadhi ya picha kama mnavyoziona hapo juu. Na inavyoonyesha ziara hii ni ya kimyakimya. Pichani juu, Raila Odinga akikaribishwa na mwenyeji wake, Dk Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam siku mbili zilizopita.

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...