Katika…
Katika
 kuonyesha kuwa Dk. John Magufuli na Raila Odinga ni maswahiba kwa 
taarifa nilizozinyaka na ni za uhakika ni kuwa, Mh. Raila Odinga yupo 
nchini Tanzania kumtembelea rafiki yake kipenzi Mh. Dk. John P. Magufuli
 ambapo nimebahatika kupata baadhi ya picha kama mnavyoziona hapo juu. 
Na inavyoonyesha ziara hii ni ya kimyakimya. Pichani juu, Raila Odinga 
akikaribishwa na mwenyeji wake, Dk Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa 
Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam siku mbili
 zilizopita.
 
 
No comments:
Post a Comment