Monday, December 31, 2012

RAILA ODINGA ATUA JIJINI DAR KIMYAKIMYA

Katika…
Katika kuonyesha kuwa Dk. John Magufuli na Raila Odinga ni maswahiba kwa taarifa nilizozinyaka na ni za uhakika ni kuwa, Mh. Raila Odinga yupo nchini Tanzania kumtembelea rafiki yake kipenzi Mh. Dk. John P. Magufuli ambapo nimebahatika kupata baadhi ya picha kama mnavyoziona hapo juu. Na inavyoonyesha ziara hii ni ya kimyakimya. Pichani juu, Raila Odinga akikaribishwa na mwenyeji wake, Dk Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam siku mbili zilizopita.

No comments:

Makamu wa Rais wa Zimbabwe akutana na CP Kaganda kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Kembo Mohadi, amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini humo, Kamishna wa Po...