Monday, December 31, 2012

RAILA ODINGA ATUA JIJINI DAR KIMYAKIMYA

Katika…
Katika kuonyesha kuwa Dk. John Magufuli na Raila Odinga ni maswahiba kwa taarifa nilizozinyaka na ni za uhakika ni kuwa, Mh. Raila Odinga yupo nchini Tanzania kumtembelea rafiki yake kipenzi Mh. Dk. John P. Magufuli ambapo nimebahatika kupata baadhi ya picha kama mnavyoziona hapo juu. Na inavyoonyesha ziara hii ni ya kimyakimya. Pichani juu, Raila Odinga akikaribishwa na mwenyeji wake, Dk Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam siku mbili zilizopita.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...