 
Kiongozi Mtukufu Aga Khan ambaye ndiye
 Mwenyekiti wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) na Kiongozi wa 
Waislamu wa Ismailia akizungumza mawili matatu ya kimaendeleo na Mbunge 
wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Mh. Shy-Rose Bhanji wakati 
wa ufunguzi wa Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mkoni Arusha. 
Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Kidiplomasia ya AKDN Dkt. 
Shafik Sachedina. ( Picha zote kwa Hisani ya Ikulu).
 
 
 
No comments:
Post a Comment