Mambo makubwa yamefanyika katika uwanja wa CCM Kirumba usiku huu  jijini Mwanza ambapo Kofii Olomide mwanamuziki
 Gwiji Barani Afrika kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 
amepagawisha mashabiki wa  wake katika tamasha la Tusker Carnival  na 
kukonga nyoyo za mashabiki wa muziki  jijini humo, Mwanamuziki Kofii 
Olomide akiwa na kundi lake pamoja na mwimbaji wake Cindy amefanya 
kilichokuwa kikitarajiwa pamoja na hamu ya mashabiki kupiga kelele kwa 
madai ya kutaka kumuona mwanamuziki huyo mkali na anayekubalika barani 
Afrika na Ulaya.
 Mwanamuziki huyo  amefanya mambo makubwa kama  burudani aliyoshusha
 jana kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam,  Watu mbalimbali 
wamejitokeza kwenye uwanja wa CCM Kirumba ili kumuona mwanamuziki huyo 
pichani juu akiwa na mwimbaji wake Cindy akimtambulisha kwa mashabiki wa
 jijini Mwanza .
Kamanda wa Fullshangblog 
alikuwepo   jijini Mwanza ili kukumuvuzishia moja kwa moja matukio hayo 
usiku huu kutoka katika uwanja wa CCM Kirumba Kaa mkao wa kuperuzi mara 
kwa mara katika ukurasa wa Fullshangwelog ili kujua kinachojiri uwanjani
 hapo .
Kofii Olomide na Mwimbaji Cindy wakiimba huku wakiwa amezungukwa na wanenguaji wake
Mwanamuziki Kofii Olomide akipanda jukwaani huku akisinddikizwa na waimbaji wake.
Cindy
 katikati Mwimbaji mahili wa kike wa mwanamuziki Kofii Olomide akiimba 
jukwaani kalba ya Kofii Olomide mwenyewe kupanda jukwaani.
Kazi iko hapa kama wanavyoonekana wanenguaji hao wakicheza kwa sataili ya aina yake.
Hii ilichezwa kwa kwenda mbele na kurudi nyuma huku wakiwa wameshikana.
Palikuwa hapatoshi kwa shoo kabambe kabisa kutoka kwa wanenguaji wa Kofii Olomide.
Ili mradi burudani iliyopangika kutoka kwa wanenguaji hao
Staili hiyo ilichezwa kwa hisia pia 
Kutoka
 kulia ni Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa  (SBL), Anitha Msangi 
Maurice Njowoka na Patrick Kisaka kutoka kampuni ya bia ya Serengeti 
wakishoo love kwa picha.
Mkurugenzi
 wa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Ephraim Mafuru kulia na 
Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga wakiwa katika picha ya 
pamoja
Wadau kutoka Miss Tanzania wakiwa katika onesho hilo.
Rachel wa THT akicheza na mmoja wa wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide.
Kofii Olomide akimpongeza msanii Rachel wa THT baada ya kuonyesha uwezo wake katika kuimba kwenye onesho hilo.
Waimbaji wa mwanamuziki Kofii Olomide wakiimba kwa hisia katika enesho hilo.
Rapa wa mwanamuziki Kofii Olomide anayejulikana kwa jina la Computar akighani huku wanenguaji wa kiume wakiingia jukwaani.
Jukwaani ni Recho wa kundi la  THT kutoka jijini Dar es salaam akinendelea kutoa burudani jukwaani
H.
 Baba akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki wa jijini Mwanza wakati 
akitoa burudani ya utangulizi kabla ya mwanamuziki Kofii Olomide Kupanda
 jukwaani.
Pepe Kale wa Mwanza naye akafanya mambo makubwa na kukubalika na umati wa mashabiki waliohudhuria katika onesho hilo. Kwa taarifa zaidi hebu cheki FULLSHANGWE.




















 
 
No comments:
Post a Comment